HIVI DUNIA HAIONI MATESO YA WATOTO WA SYRIA?

Baadhi ya watoto wa mji wa Aleppo wakipata msaada toka kwa waokoaji (Picha kwa hisani ya mtandao)

     Ikiwa ni miezi kadhaa sasa tangu raia na jamii nzima  katika mji wa Aleppo nchini Syria ikendelea kushuhudia mashambulizi ya angani,ardhini na makombora je si wakati sasa wa dunia nzima kuchukua hatua  kuwalinda raia wakiwemo watoto hawa ambao wako chini ya vitisho vya kuzuka vita.

          Suala la kuwasaidia watoto hawa si la hiyari kwani haitakuwa mara ya kwanza kwa dunia kufanya hivyo kwani kumekuwepo na mikataba  kadhaa kama vile mkataba wa Geneva na  baraza la usalama la Umoja wa Mataifa ambalo lilianzishwa  baada ya Vita Kuu ya Pili lengo likiwa ni kudumisha amani na kuwalinda watu raia walio katika maeneo ya vita.
                 Hali ilivyo sasa huko Syria na maeneo mengine yenye vita vya wenyewe kwa wenyewe mikataba hiyo inaonekana kutokuwa na ufanisi  au kuwa na ufanisi mdogo kwani mauaji ya raia wasio na hatia wakiwemo watoto yameendelea huku dunia ikiwa haichukulii uzito suala hilo
                 Hali ilivyo sasa huko Syria na maeneo mengine yenye vita vya wenyewe kwa wenyewe mikataba hiyo inaonekana kutokuwa na ufanisi  au kuwa na ufanisi mdogo kwani mauaji ya raia wasio na hatia wakiwemo watoto yameendelea huku dunia ikiwa haichukulii uzito suala hilo                  Hali ilivyo sasa huko Syria na maeneo mengine yenye vita vya wenyewe kwa wenyewe mikataba hiyo inaonekana kutokuwa na ufanisi  au kuwa na ufanisi mdogo kwani mauaji ya raia wasio na hatia wakiwemo watoto yameendelea huku dunia ikiwa haichukulii uzito suala hilo         Ikiwa umoja wa mataifa na dunia nzima kwa ujumla hawataingilia kati mgogoro huu  suala hili litaleta madhara kwa watoto hawa na jamii ya Syria kwa ujumla na kupelekea watoto hawa kukosa hali zao za msingi.

No comments:

Post a Comment